2 Wathesalonike 3:8 Biblia Habari Njema (BHN)

hatukula chakula kwa mtu yeyote bila ya kumlipa. Tulifanya kazi kwa bidii na taabu mchana na usiku ili tusiwe mzigo kwa mtu yeyote kati yenu.

2 Wathesalonike 3

2 Wathesalonike 3:6-12