2 Wathesalonike 3:16-18 Biblia Habari Njema (BHN)

16. Bwana mwenyewe ambaye ndiye chanzo cha amani, awajalieni amani siku zote kwa kila namna. Bwana awe nanyi nyote.

17. Kwa mkono wangu mwenyewe naandika hivi: Salamu kutoka kwa Paulo! Hivi ndivyo ninavyotia sahihi kila barua; ndivyo ninavyoandika.

18. Tunawatakieni nyote neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.

2 Wathesalonike 3