2 Wakorintho 7:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Mimi nimewasifu sana mbele yake, na katika jambo hilo sikudanganyika. Tumewaambieni ukweli daima, na kule kuwasifia nyinyi mbele ya Tito kumekuwa jambo la ukweli tupu.

2 Wakorintho 7

2 Wakorintho 7:12-16