2 Wakorintho 7:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuwa na huzuni jinsi atakavyo Mungu husababisha badiliko la moyo, badiliko lenye kuleta wokovu; hivyo hakuna sababu ya kujuta. Lakini huzuni ya kidunia huleta kifo.

2 Wakorintho 7

2 Wakorintho 7:4-15