2 Wakorintho 2:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa wale wanaopotea, harufu hiyo ni kifo; lakini kwa wale wanaookolewa, harufu hiyo ni uhai. Nani basi, awezaye kushiriki katika kazi ya namna hiyo?

2 Wakorintho 2

2 Wakorintho 2:7-17