2 Wakorintho 12:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini, kusudi mambo haya makuu niliyofunuliwa yasinifanye nilewe majivuno, nilipewa maumivu mwilini kama mwiba, mjumbe wa Shetani mwenye kunipiga, nisijivune kupita kiasi.

2 Wakorintho 12

2 Wakorintho 12:1-8