2 Wakorintho 11:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Nilipokuwa nanyi sikumsumbua mtu yeyote nilipohitaji fedha; ndugu waliotoka Makedonia waliniletea kila kitu nilichohitaji. Nilikuwa mwangalifu sana nisiwe mzigo kwa namna yoyote ile, na nitaendelea kufanya hivyo.

2 Wakorintho 11

2 Wakorintho 11:1-10