2 Wakorintho 11:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini naogopa kwamba, kama vile yule nyoka kwa hila zake za uongo alimdanganya Hawa, fikira zenu zaweza kupotoshwa, mkauacha uaminifu wenu wa kweli kwa Kristo.

2 Wakorintho 11

2 Wakorintho 11:1-11