2 Wakorintho 11:28-30 Biblia Habari Njema (BHN)

28. Na, licha ya mengine mengi, kila siku nakabiliwa na shughuli za makanisa yote.

29. Kama mtu yeyote ni dhaifu, nami pia ni dhaifu; mtu yeyote akikwazwa, nami pia huwa na wasiwasi.

30. Ikinilazimu kujivuna, basi, nitajivunia udhaifu wangu.

2 Wakorintho 11