2 Wakorintho 10:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu asemaye hivyo heri akumbuke kwamba hakuna tofauti ya yale tunayoandika katika barua wakati tuko mbali, na yale tutakayofanya wakati tutakapokuwa nanyi.

2 Wakorintho 10

2 Wakorintho 10:1-14