2 Wakorintho 1:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Sisi tunajivunia kitu kimoja: Dhamiri yetu inatuhakikishia kwamba tumeishi ulimwenguni hapa, na hasa kati yenu, kwa unyenyekevu na unyofu tuliojaliwa na Mungu; hatukuongozwa na hekima ya kibinadamu bali na neema ya Mungu.

2 Wakorintho 1

2 Wakorintho 1:3-15