2 Wafalme 6:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Kabla hata hajamaliza kusema, mfalme akafika, akasema, “Msiba huu umetoka kwa Mwenyezi-Mungu! Kwa nini niendelee kumngojea tena?”

2 Wafalme 6

2 Wafalme 6:32-33