2 Wafalme 5:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu Gehazi akaingia nyumbani kwa Elisha na kuanza kumhudumia. Elisha akamwuliza, “Ulikwenda wapi?” Gehazi akajibu, “Sikuenda mahali popote.”

2 Wafalme 5

2 Wafalme 5:18-27