2 Wafalme 24:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Alimchukua Yehoyakini mpaka Babuloni pamoja na mama yake mfalme, wake za mfalme, maofisa wake na wakuu wa nchi; wote hao aliwatoa Yerusalemu, akawapeleka Babuloni.

2 Wafalme 24

2 Wafalme 24:6-20