2 Wafalme 23:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Hata hivyo, Mwenyezi-Mungu hakuacha ukali wa ghadhabu yake nyingi, kwa sababu hasira yake iliwaka dhidi ya Yuda kwa ajili ya vitendo vya kukasirisha, ambavyo Manase alifanya dhidi yake.

2 Wafalme 23

2 Wafalme 23:22-32