2 Wafalme 18:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivi ndivyo anavyosema mfalme: Msikubali Hezekia awadanganye, kwa sababu hataweza kuwaokoa mikononi mwa mfalme.

2 Wafalme 18

2 Wafalme 18:25-32