2 Wafalme 15:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Hata hivyo, mahali pa kuabudia miungu ya uongo hapakuharibiwa, na watu waliendelea kutoa sadaka na kufukiza ubani kwenye mahali pa juu. Yothamu alijenga lango la kaskazini la nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

2 Wafalme 15

2 Wafalme 15:30-38