2 Wafalme 15:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala; alitawala huko Yerusalemu kwa muda wa miaka kumi na sita. Mama yake aliitwa Yerusha, binti Sadoki.

2 Wafalme 15

2 Wafalme 15:28-34