2 Wafalme 15:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika mwaka wa hamsini na mbili wa enzi ya mfalme Azaria wa Yuda, Peka mwana wa Remalia alianza kutawala huko Samaria, akatawala kwa muda wa miaka ishirini.

2 Wafalme 15

2 Wafalme 15:24-37