2 Wafalme 14:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Alipoanza kutawala alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano, naye alitawala katika Yerusalemu kwa muda wa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Yehoadani wa Yerusalemu.

2 Wafalme 14

2 Wafalme 14:1-12