2 Timotheo 4:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Bwana ataniokoa na mambo yote maovu, na kunichukua salama mpaka katika ufalme wake wa mbinguni. Kwake uwe utukufu milele na milele! Amina.

2 Timotheo 4

2 Timotheo 4:11-22