2 Timotheo 3:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Maandiko yote Matakatifu yameandikwa kwa uongozi wa Mungu, na yanafaa katika kufundishia ukweli, kuonya, kusahihisha makosa, na kuwaongoza watu waishi maisha adili,

2 Timotheo 3

2 Timotheo 3:8-17