2 Samueli 9:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku moja, Daudi aliuliza, “Je, kuna mtu yeyote aliyesalia katika jamaa ya Shauli? Kama yuko, ningependa kumtendea wema kwa ajili ya Yonathani.”

2 Samueli 9

2 Samueli 9:1-10