2 Samueli 5:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi alijitwalia masuria na wake zaidi wa huko mjini Yerusalemu baada ya kutoka Hebroni. Hao, wakamzalia watoto zaidi wa kiume na wa kike.

2 Samueli 5

2 Samueli 5:9-18