2 Samueli 4:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Rekabu na Baana wana wa Rimoni Mbeerothi, wakaenda nyumbani kwa Ishboshethi. Walifika huko adhuhuri, Ishboshethi alipokuwa anapumzika nyumbani kwake.

2 Samueli 4

2 Samueli 4:2-10