2 Samueli 4:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Ishboshethi mwana wa Shauli, aliposikia kwamba Abneri ameuawa huko Hebroni, alivunjika moyo na watu wote wa Israeli walifadhaika.

2 Samueli 4

2 Samueli 4:1-9