2 Samueli 3:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli alikuwa na suria mmoja aitwaye Rispa, binti Aya. Basi, wakati mmoja, Ishboshethi akamwuliza Abneri, “Kwa nini umelala na suria wa baba yangu?”

2 Samueli 3

2 Samueli 3:6-10