2 Samueli 3:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akamjibu, “Vema, nitafanya agano nawe. Lakini ninakutaka jambo moja kwamba kabla hujaniona sharti kwanza uniletee Mikali binti wa Shauli. Hapo utaniona.”

2 Samueli 3

2 Samueli 3:4-16