2 Samueli 24:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini tamko la mfalme lilikuwa na nguvu zaidi dhidi ya Yoabu na makamanda wa jeshi! Basi, Yoabu na makamanda wa jeshi wakaondoka mbele ya mfalme, wakaenda kuwahesabu Waisraeli.

2 Samueli 24

2 Samueli 24:1-13