2 Samueli 24:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Arauna alipoangalia upande wa chini alimwona mfalme akimkaribia pamoja na watumishi wake, naye akatoka, akaenda na kumsujudia mfalme, akainama mpaka chini ardhini.

2 Samueli 24

2 Samueli 24:10-25