2 Samueli 24:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Mwenyezi-Mungu akawaletea Waisraeli maradhi, tangu asubuhi hadi wakati uliopangwa. Watu 70,000 walikufa nchini kote kutoka Dani mpaka Beer-sheba.

2 Samueli 24

2 Samueli 24:11-21