2 Samueli 23:37-39 Biblia Habari Njema (BHN)

37. Seleki, Mwamoni; Naharai, Mbeerothi aliyekuwa mbeba silaha wa Yoabu mwana wa Seruya;

38. Ira na Garebu, Waithri;

39. na Uria, Mhiti. Wote pamoja walikuwa mashujaa thelathini na saba.

2 Samueli 23