2 Samueli 23:25-34 Biblia Habari Njema (BHN)

25. Shama, Mharodi; Elika, Mharodi;

26. Helesi, Mpalti; Ira, mwana wa Ikeshi, Mtekoa;

27. Abiezeri, Mwanathothi; Mebunai, Mhushathi;

28. Salmoni, Mwahohi; Maharai, Mnetofathi;

29. Helebu mwana wa Baana, Mnetofathi; Itai mwana wa Ribai, toka Gibea katika Benyamini;

30. Benaya, Mpirathoni; Hidai, wa vijito vya Gaashi;

31. Abialboni, Mwarbathi; Azmawethi, Mbahurimu;

32. Eliaba, Mshaalboni; wana wa Yasheni; Yonathani;

33. Shama, Mharari; Ahimu mwana wa Sharari, Mharari;

34. Elifeleti mwana wa Ahasbai, Mmaaka; Eliamu mwana wa Ahithofeli, Mgiloni;

2 Samueli 23