2 Samueli 23:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Asaheli, nduguye Yoabu, alikuwa mmoja wa mashujaa thelathini. Mashujaa wengine wa Daudi walikuwa: Elhanani, mwana wa Dodo wa Bethlehemu;

2 Samueli 23

2 Samueli 23:18-32