2 Samueli 23:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, mashujaa watatu kati ya wakuu thelathini waliteremka wakati wa mavuno wakamfikia Daudi kwenye pango huko Adulamu. Wakati huo jeshi la Wafilisti lilikuwa limepiga kambi katika bonde la Refaimu.

2 Samueli 23

2 Samueli 23:10-22