2 Samueli 22:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi alimwimbia Mwenyezi-Mungu maneno ya wimbo ufuatao siku ile Mwenyezi-Mungu alipomkomboa mikononi mwa adui zake, na mkononi mwa Shauli.

2 Samueli 22

2 Samueli 22:1-3