2 Samueli 21:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Watoto hao saba wa kiume Daudi aliwakabidhi kwa Wagibeoni, nao wakawatundika mlimani mbele ya Mwenyezi-Mungu, wote saba wakafa pamoja. Watoto hao waliuawa mwanzoni mwa mavuno ya shayiri.

2 Samueli 21

2 Samueli 21:2-16