2 Samueli 21:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini mfalme alimnusuru Mefiboshethi mwana wa Yonathani kwa sababu ya kiapo ambacho Daudi na Yonathani mwana wa Shauli walikuwa wamekula kati yao kwa jina la Mwenyezi-Mungu.

2 Samueli 21

2 Samueli 21:4-10