2 Samueli 21:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Wagibeoni wakamwambia, “Kisa chetu na Shauli pamoja na jamaa yake si jambo la fedha au dhahabu. Wala si juu yetu kumwua yeyote katika nchi ya Israeli.” Mfalme akawauliza tena, “Sasa mnasema niwatendee nini?”

2 Samueli 21

2 Samueli 21:1-8