2 Samueli 21:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya hayo, kulitokea tena mapigano na Wafilisti huko Gobu. Huko Sibekai, Mhushathi, alimuua Safu aliyekuwa mmojawapo wa wazawa wa Warefai.

2 Samueli 21

2 Samueli 21:12-19