2 Samueli 21:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha Wafilisti walifanya vita tena na Waisraeli. Naye Daudi na watu wake wakaenda kupigana na Wafilisti. Daudi alichoka sana siku hiyo.

2 Samueli 21

2 Samueli 21:9-18