2 Samueli 20:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo, watu wote wa Israeli wakamwacha Daudi, wakamfuata Sheba mwana wa Bikri. Lakini watu wa Yuda walimfuata mfalme Daudi kwa uaminifu toka mto Yordani mpaka mjini Yerusalemu.

2 Samueli 20

2 Samueli 20:1-3