2 Samueli 20:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Sheba alipitia katika makabila yote ya Israeli mpaka mji wa Abeli wa Beth-maaka. Watu wote wa ukoo wa Bikri wakakusanyika na kumfuata.

2 Samueli 20

2 Samueli 20:6-20