2 Samueli 2:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Yoabu aliporudi kutoka kumfuatia Abneri, aliwakusanya watu wake wote, akagundua kuwa watumishi kumi na tisa wa Daudi walikosekana, licha ya Asaheli.

2 Samueli 2

2 Samueli 2:28-32