2 Samueli 2:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Yoabu na Abishai walimfuatia Abneri. Jua lilipokuwa linatua, wakafika kwenye mlima wa Ama, ulioko mashariki ya Gia, katika barabara iendayo jangwa la Gibeoni.

2 Samueli 2

2 Samueli 2:20-29