2 Samueli 19:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Barzilai alikuwa mzee sana, mwenye umri wa miaka themanini. Naye Barzilai alikuwa amemtunza mfalme alipokaa huko Mahanaimu, kwa kuwa alikuwa tajiri sana.

2 Samueli 19

2 Samueli 19:23-38