2 Samueli 18:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme akamwuliza, “Je kijana Absalomu hajambo?” Mkushi akasema, “Maadui wako, bwana wangu mfalme, pamoja na wote wanaoinuka dhidi yako wakikutakia mabaya, wawe kama huyo kijana Absalomu.”

2 Samueli 18

2 Samueli 18:29-33