2 Samueli 18:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme akamwambia, “Je, kijana Absalomu hajambo?” Ahimaasi akasema, “Wakati Yoabu aliponituma mimi mtumishi wako, niliona kulikuwa na kelele nyingi, lakini sikufahamu maana yake.”

2 Samueli 18

2 Samueli 18:25-31