2 Samueli 18:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakamchukua Absalomu wakamtupa kwenye shimo kubwa msituni na kurundika rundo kubwa sana la mawe. Watu wote wa Israeli wakakimbia, kila mmoja nyumbani kwake.

2 Samueli 18

2 Samueli 18:11-19