2 Samueli 18:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Yoabu akamwambia mtu huyo, “Nini? Ulimwona Absalomu? Kwa nini, basi, hukumpiga papo hapo hadi ardhini? Ningefurahi kukulipa vipande kumi vya fedha na mkanda.”

2 Samueli 18

2 Samueli 18:10-17